Imeelezwa kuwa kwenye filamu ya Marehemu Steven Kanumba "Devil Kingdom" ile nafasi ya kajala ilibidi acheze wema sepetu lakini diamondplatnumz alimzuia Wema kuigiza kwenye hiyo filamu.....
Utakumbuka wakati ule Diamond Platnumz alikuwa kwenye mahusiano ya kiMapenzi na Wema sepetu.
Tags New trending
Subscribe Our Newsletter


0 Comment
Post a Comment
Your thoughts and opinions matter. Leave a comment below DO NOT SPAM!